Site Logo
Microdata Portal
  • Datasets
  • Home
  • Catalog
  • Citations
  • RELI SKY
  • Collections
  • About
  • FAQs
  • Contact us
  • Login
    Login
APHRC Logo
    Home / Central Data Catalog / PWC02 / variable [F3]
central

Engisoma

Tanzania, 2022
Get Microdata
Reference ID
PWC02
Producer(s)
Pastoral Women Council
Metadata
DDI/XML JSON
Study website
Created on
Feb 20, 2024
Last modified
Feb 20, 2024
Page views
40191
Downloads
424
  • Study Description
  • Data Description
  • Downloads
  • Data files
  • Engisoma_2_baseline
  • Engisoma_community
  • Engisoma_Evaluation_STUDENT

Je unashauri njia gani zitumiwe kushirikisha wazazi na jamii ili kuboresha ufaul (BE07)

Data file: Engisoma_community

Overview

Valid: 35
Invalid: 5
Type: Discrete
Decimal: 0
Width: 2
Range: 1 - 35
Format: Numeric

Questions and instructions

Literal question
Je unashauri njia gani zitumiwe kushirikisha wazazi na jamii ili kuboresha ufaulu
Categories
Value Category Cases
1 Elimu itolewe kwa wazazi juu ya mila na desturi potofu, Sheria kali ziunde na zifuate mkondo wake kwa wote watakao kaidi 1
2.5%
2 Kikao cha wazazi na waalimu , Kuwa na mawasiliano kati ya waalimu na wazazi 1
2.5%
3 Kuandaa mkutano/vikao vya kutosha shuleni, Wazazi kupata elimu zaidi ya faida za kuwasomesha watoto wao wote 1
2.5%
4 Kuedeleza juhudi katika kuboresha miradi (kwa kutumia fedha zinazopatikana kutoka kwa wafadhili ili kuweza kuepukana na changamoto zinazowakumba vijijini mfano ukosefu wa waalimu 1
2.5%
5 Kufuatilia mienendo ya wanafunzi kila wakati wakiwa shuleni na nyumbani 1
2.5%
6 Kuitisha mikutano inayoshirikisha wazazi na jamii na walimu 1
2.5%
7 Kuitisha vikao vya mwisho wa mwezi kuongelea maendeleo ya wanafunzi shuleni 1
2.5%
8 Kuitisha vikao vya wazazi na walimu mara kwa mara ili kutengeneza ukaribu katika kumsaidia mtoto 1
2.5%
9 Kuitwa kwenye vikao vya maendeleo ya wanafunzi mara kwa mara na Wazazi kuhamashisha watoto kwenda shule 1
2.5%
10 Kupata elimu zaidi 1
2.5%
11 Kupatiwa elimu kuhusu umuhimu wa elimu na faida yake 1
2.5%
12 Kupewa semina mbalimbali zitakazo saidia kupata elimu zaidi na kuwafundisha watoto ili waweze kusoma zaidi 1
2.5%
13 Kutoa elimu kwa wazazi juu ya majukumu yake kwa mtoto wake awapo nyumbani na shuleni 1
2.5%
14 Kutoa elimu kwa wazazi kuhusiana na maswala ya elimu, Semina mbalimbali za mafunzo, Vikao mbali mbali vya kujadili taaluma ya mwanafunzi 1
2.5%
15 Kuundwa kwa kamati mbali mbali ambazo zitaleta maendeleo ya mtoto 1
2.5%
16 Kuwa na mikutano ya mara kwa mara ya wazazi shuleni na kamati ya shule 1
2.5%
17 Kuwa na vikao vya mara kwa mara kushauri wazazi waelimika kuwaleta watoto shule wa jinsia zote 1
2.5%
18 Kuwaelimisha wazazi kuondokana na mila potofu na ndoa za utotoni alikadhalika kuwapa elimu juu ya madhara yatokanayo na ndoa za utotoni 1
2.5%
19 Kuwafahamisha wazazi taarifa za mara kwa mara kuhusu maendeleo ya watoto kitaalamu 1
2.5%
20 Kuwaita wazazi 1
2.5%
21 Kuwapatia elimu juu ya faida ya elimu 1
2.5%
22 Kuwapeleka watoto shule na Kutoa Elimu kwa jamii 1
2.5%
23 Kuwashirikisha wadau wote wa elimu, wazazi , waalimu na kamati ya shule 1
2.5%
24 Kwa njia ya mafunzo 1
2.5%
25 Ratiba ya vikao vyawazazi isimamiwe ipasavyo, Feedback ya vikao vitolewe ili ziwahamashishe wazazi 1
2.5%
26 Vikao 1
2.5%
27 Vikao mbali mbali baina ya walimu na wazazi ili kujadili mambo yanayowakwamisha ufaulu wa wanafunzi na mbinu zipi zitumike ili waweze kufaulu 1
2.5%
28 Vikao vya mara kwa mara baina ya wazazi na walimu vifanywe ili kila mzazi mwenye mwanafunzi shuleni aweze kujua na kufuatilia ufaulu wa mtoto wake 1
2.5%
29 Vikao vya mara kwa mara ili kuhamasisha wanafunzi 1
2.5%
30 Wananchi kuwa na ushirikiano ili kuweza kujua maendeleo na changamoto katika kijiji na kuweza kuwasilisha kwa viongozi. Pia kuwa na moyo wa kujitoa 1
2.5%
31 Wawe tayari kuwasaidia watoto kwa kuwalipia ada/kutoa matumizi, Kuitisha vikao na pia mawasiliano kwa kutumia simu, pia wapewe matokeo ya wanao wanavyoendelea mashuleni 1
2.5%
32 Wazazi kupata semina mbalimbali na kuweza kuwasilisha changamoto wanazokabiliana nazo 1
2.5%
33 Wazazi pamoja na waalimu waendelee kuwasiliana, Mzazi azidi kuwajibika kwa kufwata na kuchunguza maendeleo ya mwanaye katika masomo 1
2.5%
34 Wazazi wachangie michango mbalimbali ya shule na kuhusishwa katika maendeleo ya mwanafunzi na Vikao vifanyike mara kwa mara kujua maendeleo yao 1
2.5%
35 Wazazi wanatakiwa wawe na umoja na waalimu ili waweze kusaidia kuboresha ufaulu wa wanafunzi zaidi na kuleta maendeleo katika jamii 1
2.5%
Sysmiss 5
Warning: these figures indicate the number of cases found in the data file. They cannot be interpreted as summary statistics of the population of interest.
Back to Catalog
RELI Microdata

© RELI Microdata, All Rights Reserved.